Wengi wetu kiukweli licha ya kuwa mashbiki wa msanii lil`wayne hatujui ukweli kumhsu baba yake mzazi. Hali hii imekuwa hivi kutokana na baadhi ya rafiki kudhani kuwa baba mzazi wa lil`wayne ni Bird Man.
Ukweli ni kwamba baba mzazi wa star huyu wa hip pop ni Dwayne Michael Carter, ambaye alifariki wakati lil`wayne alipokuwa mdogo sana .
Lil Wayne pia alipewa jina hilohilo la Dwayne, lakini kwasababu hakupata kabisa malezi ya baba aliamua kuitoa D na kubakisha wayne tu… na mpaka leo anatumia jina hilo .
Kali zaidi kuhusu wayne ni kwamba alipata motto wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 15…… duh hii ni balaaa, kumbe mpaka ulaya watoto huzaa watoto.
Nice times rafiki