Saturday, July 23, 2011

 Wengi wetu kiukweli licha ya kuwa mashbiki wa msanii lil`wayne hatujui ukweli kumhsu baba yake mzazi. Hali hii imekuwa hivi kutokana na baadhi ya rafiki kudhani kuwa baba mzazi wa lil`wayne ni Bird Man.
 Ukweli ni kwamba baba mzazi wa star huyu wa hip pop ni Dwayne Michael Carter, ambaye alifariki wakati lil`wayne alipokuwa mdogo sana.
 Lil Wayne pia alipewa jina hilohilo la Dwayne, lakini kwasababu hakupata kabisa malezi ya baba aliamua kuitoa D na kubakisha wayne tu… na mpaka leo anatumia jina hilo.
 Kali zaidi kuhusu wayne ni kwamba alipata motto wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 15…… duh hii ni balaaa, kumbe mpaka ulaya watoto huzaa watoto.
                                                                                                         Nice times rafiki