Saturday, July 23, 2011

Aibu, saa saa simusimu jaman...

 Siku moja nilikuwa kwenye daladala, natoka zangu chuoni naelekea hostel. Ndani ya lili gari kuna mmoja kati ya masuperstar wetu wa bongo jina naomba nilihifadhi.
 Nikamuuliza “samahani kaka, sasa  hivi ni saa ngapi?”. Jibu alilonipa mmmhh nikamvua vyeo vyote jamani….. uanjua alinijibu nini!!!!!
 Eti “ooh sorry, simu yangu haina charge dadangu, siunajua mambo ya mgao wa umeme” hahahahahahha, jamani siku njema na hao mastar wenu…..
                                                                                                                  Sara Sean