Monday, August 1, 2011

Amber asema na wanaopenda kupiga picha za.......!


 Kwenye dunia ya leo ni swala la kawaida rafiki, ndugu jamaa na zaidi zaid wapenzi kupigana picha ambazo kwa ukawaida zinakuwa kama hali ya kufurahia maisha yao au kwa ajili ya kumbukumbu muhimu.
 Hii huwa rahisi zaidi kutokana na uaminifu uliopo kati yako na mwenzako, sio hivyo tu hata kushare simu, laptops na mara nyingine unaweza kukuta watu ambao wako kwenye mahusiano wanapeana passwords za simu, emails na hata password za ATM ili panapotokea ulazima inakuwa rahisi kujikimu kifedha.
 Lakini mwanamitindo maarufu na mpenzi wa zamani wa rapa Kanye west swala la uaminifu kwa rafiki na watu wake wa karibu halikuzaa matunda na badala yake kuleta matatizo kwenye maisha yake mara baada ya watu aliyowaamini sana kusamabaza picha zake za siri kwenye mitandao bila idhini yake rasmi.
 Kwa kinywa chake mwanamitindo huyo alisema maneno makali na yenye mafunzo ndani yake ambayo ni salama kama rafiki utayapata pia.
 Amber alisema;
"I trusted someone who worked for me and allowed them to use my lap top millions times, i cought them sending my pics to themselves. I fired them immediately. Wiz and i and both our families knows have know abowt this for a month now.
 These pics are 2 and half years old, when i just sit in my computer am realy hurt, i have too many young girls who are looking up to me. I wouldnt have put these pics my self.
 The company that i was working with no longer wants me to work with them because of these pics and prevents me to get money to take care of my family. It is messed up situation when someone comes into ur life and and tries to destroy it.
 I know i am not the only girl in the world that has taken pics like that but they were very private.
 I am very sorry for letting my young rosebuds down, please understand that was result of trusting a person that didnt deserve my trust. I have cried for the past two two days but i know this too shall past, thank u all for ur support"
 Kuna mwenye swali, hope hakuna ila kama upo tuma kwenda email ya Bloglab enterprices, na utapata majibu.
                                         John Masunga Didas.